IZZO BUSINESS KUFUNGA MWAKA MBEYA "HOME SWEET HOME"
Tarehe;31/12/2013 nitakuwa mbeya kwenye mkesha wa mwaka mpya ndani ya Tamasha la HOME SWEET HOME litakalofanyika BABZ Club kwa kiingilio cha Sh.7000/= kwa mpango huu hapa Mbeya city kaeni mkao wa kula nakuja nyumbani tufunge mwaka kwa style mpya.
No comments:
Post a Comment