B

B

Saturday, December 21, 2013

MTANANGE WA MECHI KATI YA SIMBA NA YANGA UWANJA WA TAIFA, SIMBA WANAONGOZA KWA 1-0

 Bao safi likitiwa kimyani na mchezaji wa Simba Fc katika dakika ya 19 ya mchezo uwanja wa Taifa

Hawa ni baadhi ya mashabiki wa Club ya Wekundu wa Msimbazi Simba wakionyesha furaha baada ya timu yao kupata ushindi mbele ya mahasimu wao wa watani Yanga African.
                                                   Picha na;Benson kaile Jr

No comments:

Post a Comment